Katika mfululizo wa Kipindi cha NGUVU YA MUNGU ambacho huwa kinarushwa kupitia Kizazileo Media online TV,Leo tumekuletea matukio ya mkutano wa injili ulioanza tarehe 05/10/2021 katika kanisa la EAGT BUKUBA Wilaya ya Buhigwe-Kigoma Tanzania chini ya mchungaji Joakim.
Aliyekusogezea Taarifa hii ni Yaled(Y2N).Wadhanini wa Kipindi hiki ni NKUKU VIDEO PRODUCTION(NVP) Wazalishaji wa Video bora Tanzania wako Buhigwe-Kigoma fika ukashoot Video za Kisasa(0757988254).
#Nguvu#ya#MUNGU
Category
Show more
Comments - 2
Related videos for NGUVU YA MUNGU:MKUTANO WA INJILI E.A.G.T BUKUBA,KIMEWAKA MIUJIZA YATAWALA: