Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
#RadioJamboKenya
Subscribe to RadioJambo Youtube - https://bit.ly/39wwc6u
Mitandao ya Kijamii
Instagram - https://rb.gy/e154d1
Facebook - https://rb.gy/09d1b9
Twitter - https://rb.gy/e23220
@miumanchannel1973 years agoHuyo jamaa dryspell iko juu sana na anatafta maid sio bb ati hapa kazi anafaa akue na bb. 11
@
@annmwariri81193 years agoAnd that' s why am proudly kikuyu now what' s this surely? 25
@
@kennedykipronoh29423 years agoBwana kenneth ako na pressure ya kuoa sana. Lazima umri wake umesonga na amekaziwa kuoa. 14
@
@jackmuendo21573 years agoBoy child apewe aki yake, gonga like tukisonga. 8
@
@Abel_Onyancha3 years agoHuyu jamaa ni kubafu. 1k tu unaangaisha hapa msichana wa wenyewe ka gari ya miraa! Na ungekuwa umetoa airfare kungekuwaand utotology combined. 21
@
@salomeonywoki26283 years agoNamba 4 since patanisho leo ndio nimeview mapema likes zikam, kennedy ajielewi kabisa. 4
@
@EDDY59183 years agoPatanisho kabla ya kupatana. Hii kali mwenye pupa haadiriki kula mbivu.
@
@salomeomashibo19713 years agoMzee mwenyewe ako na kihere here kama mukataji wa nyama duu hatari kwa usalama. Amelemewa na nyege. Ww lidia ambia yy akuje home kwanza ndio uwende kwake wacha kubebwa kama kunia ya maka gidi hoyee. 5
@
@annemarcyannemarcy15743 years agoLydia usiende wacha akunje kwenu kwanza huyu anataka uende akule mali thao yake isipotelee hehee. 5
@
@kanakekareko77253 years agoLydia enda ubomorewe jamaa anakuhitaji mum. 8
@
@media1international2793 years agoHii ndoa itakuwa ya machozi! Dalili ya mvua ni mawingu. 8
@
@theresiakawinzi7393 years agoWote wako na ushezi. Mbona mdemu akusema fare haitoshi? 3
@
@essiewajojis79183 years agoWat huyu jamaa ako na utoto sana how comes unaita mtu bibi yako na humjui hehehehe. 6
@
@beryl804last yearKwanza, he said " huyu mtu akuje" pressure awache.
@
@graciendungu30733 years agoWah hii ni tricky sana, huyu mtu ni mkora aki. 6
@
@lastbornnyash3 years agoHii ya leo nayo sioni, yaani watu hawajuani alfu washaanza patanisho. Je wakioana kutakua vipi jamani. 10
@
@liliankemunto31243 years agoHyu mtu n mzee sana, kuna mtu anampressure aoe. 2
@
@mboneclaire87963 years agoFare ilikulwa akapiga radio jambo haha. 1
@
@nellymberia35173 years agoMimi naeza ogopa kujikuta kiruguya morgue, alafu jamaa akona kiherehere kama wale con wa safari com. 1
@
@herinahellen98622 years agoWhen someone who lies in the first instance that' s a red flag!
@
@annaheggidy78583 years agoGost where are you my friend hii patanisho ingefaa sana na ile cheko yako. 1
@anastaciamalachi75523 years agoTuma 50 sahii akuje kesho nikutumie number. 3
@
@fayetteville63103 years agoGidi anaonaga mambo mengi hapa patanishoeti mum! Wueh mnitumie iyo izo elfu mbili nikule pia! 1
@
@marymarrin68773 years agoSasa hawa wameaza kujibishana sai na hawajamet. 3
@
@linetnekesa80193 years agoHyo n walikula pesa tuma tena akule navile life n hard nlini wanaume mtaerevuka.
@
@annaauyo19583 years agoOoh my! Ooh my! Kenneth. Aki he' s desperate wooi. Lidya hiyo fare fungulia business mum. Nimeskia ukiitwa mum. 5
@
@Ema32293 years agoLydia be careful huyu jamaa hapana ni gutee. 1
@
@catherineaseka77813 years agoNingekua mm singeolewa na huyu jamaa cox hata kuelewa kwake ni vigumu sana. Sasa kwa ndoa ndo ataelewa. 2
@
@esthermugure56763 years agoAaaii mbona yy asiende kwanza aone dem kwenye ako. 1
@
@sefaniamutonga76163 years agoDada think twice kabura ujaenda kwa jamaa umujui. 1
@
@op-golden3 years agoHii ni ujiga ya hali ya juu, hii ndio kuoa sasa.
@
@kenyanniggar3573 years agoFare iko hapa ya kukula, madem changamkeni. 1
@
@lucynjoki80593 years agoElefu moja itatoa m2 eld imfikishe embu kweli vane?
@
@teedullah57083 years agoGidy usikubali huyo msichana aende kwa huyo mtu.
@
@chichimwariwawanyoike48723 years agoHuyo jamaa ni shida tupu dem akue makini sana mm siwezi kuchukuliwa ivo kaa mayai moto never.
@
@essiewajojis79183 years agoMila na desturi ifutwe unachukuwa aje mtoto wa watu kama hana kwao alaa enda kwa wazazi wao na uitishwe dowary huyu sio wa loan kwenda. 8
@reecemwongeli26983 years agoMbona huyu mtu ni ngumu kuenda huko kwa kina msichanaatume fare ikulwe tena. 1
@
@fathiyafaki90723 years agoHuu ni msiba hakuna muoaji hapo lydia kanyaga kubwa ukienda, pesa yenyewe ni 1k. 4
@
@miumanchannel1973 years agoGidi huyo jamaa ako na moto sana na iyo si sign poa ye hata si love ako nayo ni nyege na ameona ashapata mtu wakutoa kutu kwake so huyo mdem pia akue wise. ...Expand
@
@jojojoy14473 years agoHii ngo' mbe ya mwanaume ya wapinataka bb.
@
@susankomu89783 years agoUpuzi gani hi? Huyu mwanaume athink twice. 1
Related videos for PATANISHO - ALITUMA FARE LAKINI HAIKUTOSHA:
mwenye pupa haadiriki kula mbivu.