Taqwa foundation , ni taasisi inayosaidia mayatima katika kila nyanja, lakini kubwa ni kwasapoti katika elimu, na kila mmoja anaweza kuchangia kile alichojaaliwa kwa namna yake ili kuweza kuendeleza elimu kwa watoto wasio na wazazi, lakini kikubwa ni kuwapa muda wa kutosha ili wasijihisi wapweke .