@monicasimpilu62573 years agoDunia ina mambo hii wengine tunalala wengine wanakesha kutafuta kula nyama za watu. Wengine kuchukua nyota xa watu mungu tusaidie waja wako. 13
@
@seasonepisode33283 years agoApana jina lingine lenye nguvu zaidi ya jina la yesu kwa jina la yesu majini wanakimbia. 2
@
@zettyhassani22443 years agoSubhana allah, mungu nakushukur kwa uzima hu. 1
@
@rosecruiz43483 years agoUbarikiwe sana kakangu mungu azidi kuku tia nguvu katika safari ya kwenda mbinguni. 1
@
@navokisembo3 years agoBarikiwa saana kaka yesu ndie njia na uzima.
@
@frankmtei30173 years agoAmeen, ubarikiwe sana mtu wa mungu. Yesu ni bwana! Hallelujah. 1
@
@elizanzula83753 years agoAsante sana nyote mpaka mrudi kwa mungu palipo na usalama wa milele na hakuna majuto.
@
@farhathamdansalum97253 years agoKk ww kwa kweli hatari venye unawaganguwa.
@
@wantangosaimon52953 years agoSasa wew davis unashangaa mtu kufaulu mtihan kupitia majini umesahau juma 17 julietiakafaulu mtihan wa shule kupitia juliet. 1
@
@florencerose8593 years agoKama umeokoka umewacha mabaya na mbona umeficha usoo?
@
@seasonepisode33283 years agoNakumbuka kaka angu alikua mwalimu mkuu alioa muislam yule dada alikua na majini atari basi akawa anaombewa yakamtoka ila yakamuingia mtoto wake wa kike. Miaka mingi sana imepita sijui kama yalitoka au laa.
@
@jamesswai65833 years agoMungu mkuu sana. Yesu ndo kila kitu jamani, njoon kwa yesu. 1
@
@costavalenci76993 years agoDav huwa napenda sana namna unavyomhoji mtu.
@
@fatmaalrshdii76153 years agoMtu makini katika ubora wako pamoja sana kaka angu wa ukweli endelea kutusomesha wanafunzi wako tunaelewa bila ya kutuchapa viboko. 2
@
@wantangosaimon52953 years agoAisee davix kipindi hiki kinatufundixha vitu vingi sana saa nyingine kumbe unaweza kukosana na familia yako kumbe unakuta umepandikkzwa uchawi tu wa kuwavuluga. 4
@
@farhathamdansalum97253 years agoHii kweli kuna watu hutumia maji kujuwa kusoma hajakosea.
@
@nurafedrick3783 years agoHongera kumuachaa shetani nakurudia mungu wako ilahapo kwa lita ishirini xadamuhapo si mat xima ndoitoshe hilo dumu ama mbili.
@
@rasjamal98543 years agoHii deep davistar mata ubarikiwe maana tuna jifunza mengi sana kupitia kipindi chako.
@
@macamezunguzungu56973 years agoWachawi wapuzi saana hapa dunia hawajali pesa so kuuwa watu tu bila faida mungu siku ya kiama piga kibiliti. 2
@
@ruthkwamboka90823 years agoEwe mungu twakuomba utuokoe kutoka kwa dunia ii. 1
@
@deelissa27463 years agoMti mkav si ndio alisema yy ni mwenykt wa wagng tz. 1
@
@meenalaza4063 years agoJamani bro davistar usiku ukilala huoti ndoto mbaya maana story nizakutisha tu.
@
@credo78373 years agoSafi sana nilikuw naingoja kwa ham tuko pamoja. 1
@
@seasonepisode33283 years agoYan majini yamewaingia watoto wa mchungaji mala watoto wanaswali swala 5 na wanaongea kiarabu inamana apa inamaanisha wale wanao swali swala 5 na kuongea kiarabu means ni wa shetani asante yesu kristo.
@
@heartheart76283 years agoUkion davi amepost hii video ikiwa ndefu namna hii jua kuna stori zingine zinakuja kwa wingi. 2
@
@farhathamdansalum97253 years agoKk davi mtafute huyo mganga ujue umuhoji na yy.
@
@denizamahongo85573 years agoYaani kila siku nastaajabu mambo haya duniani, kweli nabaki mdomo wazi kazi hipo, damu ya yesu itakase kwa kila jambo. 1
@
@jesusislord91903 years agoKabla hamjaanza kuombewa mnapaswa kwanza mfundishwe biblia hakuna mahsli kwenye biblia pameandikwa uchawi umeletwa na mungu.
@
@frankmtei30173 years agoDamu ya mtu ikimwagwa inaongea kudai ilipiwe kisasi.
@
@shizaarfred40593 years agoYan hawa wajinga sana hawaonagi sehem nyingine za kwenda kucheza mpka kanisan wote mtateketea na mtamludia muumba wenu.
@
@godwinjosephat50443 years agoDavister mata nimefuatilia simulizi zako nyingi sana, ukweli ni kwamba wengi waloopata matatizo jina la yesu (ukristo) ndio umewaokoa, kuna kitu cha msingi sana kinaonekana hapa. 3
Related videos for PART4:KIJANA ALIYERITHI MIKOBA YA UCHAWI WA BABU YAKE AELEZA ALIVYOFANYA MAUAJI YA KUTISHA/GAMBOSHI:
ilahapo kwa lita ishirini xadamuhapo si mat xima ndoitoshe hilo dumu ama mbili.