UCHAMBUZI
Katika kipindi cha Reacp na Mando ambacho kazi yake kubwa ni kuangazia matukio yote ya burudani Tanznaia na nje ya Tanzania, kinakupa fursa ya kusikia matukio mbalimbali yanayozidi kutokea.
Hii ni Recap mahususi kwa ajili ya kuchambua ngoma ya Harmonize #ATTITUDE aliyowashirikisha Awilo Longomba & H Baba.